Friday 25 July 2014

Stock City yamnasa kinda toka Barcelona

Stoke City yamsajili nyota wa BarcelonaKlabu ya soka nchini Uingereza, Stoke City yafanikiwa kumsajili nyota wa Barcelona Borjan Krkic kwa mkataba wa miaka minne.
Stoke City imefanya uhamisho wa mchezaji huyo aliyemaliza mkataba wake na timu ya soka ya Ajax. Stoke imesaini mkataba wa miaka minne na nyota huyo wa magoli mwenye miaka 23 .
Kiongozio wa klabu hiyo, Tony Scholes alieleza “Tumefurahi kumsajili nyota wa miaka 23, ambaye anakipaji na ni mchezaji atakaeng’aa katika siku za usoni.
Borjan aliyekuzwa na kuendelezwa katika kilabu cha Barcelona, alichezea timu A ya kilabu hicho tangu akiwa na umri wa maika 17 na kufunga magoli 26 katika mechi 120.
Ukiachana na Barcelona, Borjan pia amewahi kutinga uzi wa Milan, Roma na Ajax.

No comments: