Saturday 31 January 2015

Man city na Chelsea Kujua mbivu mbichi leo

Chelsea John Terry
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa hatoshiriki katika mechi dhidi ya Manchester City baada ya kupatikana na hatia ya ukosefu wa nidhamu katika mechi ya semi fainali ya kombe la League Cup dhidi ya Liverpool.
Cesc Fabregas ,Branislav Ivanovic na Felippe Luis wote walijeruhiwa katika mechi hiyo ya ushindi wa kombe la League Cup na ni Ivanovic pekee anayetarajiwa kucheza leo.
mancity
Nyota wa kilabu hiyo Yaya Toure na mshambuliaji Wilfried Bonny hawatashirik baada ya imu yao ya taifa kusonga mbele katika mechi za robo fainali za Afrika hatua ambayo inawalazimu wote kusalia Afrika.

No comments: