Monday 14 March 2016

Video ya goli la Sammata alipoisaidia KRC Genk kuibuka na ushindi wa goli 4-1

March 13 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta alipata nafasi ya kuanza na kikosi cha Genk kwa mara ya kwanza na hili ndio goli lake la kwanza akicheza first eleven na la pili toka ajiunge na klabu hiyo.


No comments: