Tuesday 24 January 2017

Ajali mbaya aua mtu mmoja Iringa

MTU mmoja amefariki dunia katika ajali ya basi la kampuni ya Vitu Laini lenye namba za usajili T910 linalofanya safari zake kati ya Lulanzi Kilolo na Iringa Mjini baada ya kuligonga lori lenye namba T724 AVV scania lililokuwa limebeba Mbao.
Ajali hiyo imetokea asubuhi leo hii eneo la Tagamenda Mjini Iringa wakati basi hilo likitokea Kilolo kwenda Iringa mjini na kuelekea mwelekeo wa Lori hilo.
Chanzo kimeel
ezwa ni mwendo kasi wa basi hilo.
Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza amefika eneo La tukio pamoja na kamati yake ya ulinzi na usalama.

No comments: