Monday 10 July 2017

Ngeleja arejesha hela alizopewa na Rugemalira

Mbunge wa Sengerema na waziri wa zamani wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kushoto) akionesha nakala ya risiti aliyokabishiwa na mamlaka ya Mapato nchini (TRA) baada ye kurejesha serikalini kiasi cha Sh40.4 milioni alizopewa kama msaada toka kwa mfanyabiashara James Rugemalira wa Kampuni ya VIP Engeneering and Marketing Ltd. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari, Zamaradi Kawawa.

No comments: